• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Askari wapya wahitimu Mafunzo Kihangaiko

Askari wapya wahitimu Mafunzo Kihangaiko Posted On: Saturday, 28th October 2023

Mkuu wa Tawi la Utumishi Jeshini Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amefunga Mafunzo ya Awali ya Kijeshi kwa Askari wapya wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika Shule ya Mafunzo ya awali ya kijeshi Kihangaiko kwa Gwaride rasmi.

Meja Jenerali Gaguti aliambatana na Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na Wanadhimu kutoka Makao Makuu ya Jeshi, Viongozi wa Serikali pamoja na Viongozi wa Dini.

Kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda, Meja Jenerali Gaguti aliwaasa Askari wapya kuishi kwa kuzingatia viapo vyao vya utii, kutunza afya zao na kusisitiza kuwa tayari kuilinda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Sherehe za ufungwaji wa kozi hiyo zimepambwa na maonesho mbalimbali ya utendaji kivita kama kupambana na adui, kuruka vikwazo, karate, matumizi ya silaha pamoja na kufanya doria.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.