• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mabeyo azindua kituo cha Burudani

Jenerali Mabeyo azindua kituo cha Burudani Posted On: Friday, 29th October 2021

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Mabeyo amewataka wakuu wa vikosi vya JWTZ na JKT kuwa wabunifu katika kubuni miradi mbalimbali ya kibiashara ili Kujenga uwezo wa kifedha wa kuhudumia shughuli mbalimbali za Kijeshi ikiwemo Mafunzo ya Vijana.

Jenerali Mabeyo ameyasema hayo leo tarehe 29 Oktoba wakati akizindua kituo cha burudani kilichojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa kilichopo katika eneo la Medel East katikati yaJijini la Dodoma.

Amesema uzinduzi wa kituo hicho uwe chachu kwa wakuu wa vikosi na wote wenye nafasiya kufanya maamuzi kubuni mikakati yakufikiriamiradi ya maendeleo.

Aidha amelipongeza JKT kwa ubunifu wa Kituo hicho na kutaka majengo ambayo bado hayajamalizika kujengwa yaharakishwe ili Ukumbi huo uwe wa mfano hapa jijini Dodoma.

Naye Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajab Mabele amesema Kituo hicho kitawezesha Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma na Wananchi wa Dodoma kutumia ukumbi huo katika shughuli zao mbalimbali kama mikutano ambapo shughuli hizozitawezesha kituo hicho kujipatia fedha zitakazosaidia kuipunguzia Serikali mzigo wa kuhudumia Jeshi hasa katika malezi ya vijana.

Ameongeza kuwa Fedha za ujenzi wa kituo hicho zimetokana na faida ya miradi mbalimbali iliyo chini ya JKT.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.