• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha Posted On: Monday, 17th October 2022

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo ameanza ziara ya kutembelea na kufanya ukaguzi wa Vikosi, Vyuo na Shule za Kijeshi Mkoani Arusha ili kujionea utayari wa Kivita na Mafunzo.

Katika ziara yake Jenerali Mkunda ameambatana na Majenerali wa Makao Makuu ya Jeshi ili kusikiliza kwa pamoja changamoto zilizopo na kuzitatua papo kwa papo.

Jenerali Mkunda ameridhishwa na utayari wa Vikosi vyote kimafunzo na kivita ambapo ameviagiza Vikosi vyote nchini kufanya mafunzo kwa nguvu zote ili kuwa tayari kulinda nchi na Wananchi wote.

Katika ziara yake amefungua Zahanati katika Kambi ya JKT Makuyuni yenye uwezo wa kulaza wagonjwa wakiwemo Wanajeshi, Vijana wa JKT na wananchi wengine. Aidha, amezindua Mabwalo mapya ya Maafisa na Askari katika Vikosi hivyo na amewataka waishi na kudumisha ushirikiano na vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na wananchi.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.