• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mkunda awataka kutekeleza majukumu kwa Weledi

Jenerali Mkunda awataka kutekeleza majukumu kwa Weledi Posted On: Friday, 7th June 2024

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amewataka Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Vyombo vya Usalama pamoja na Watumishi kutoka Taasisi za Serikali watakaoshiriki Zoezi la Ushirikiano Imara 2024, kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kupeperusha vyema bendera ya Tanzania.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi wakati wa kukabidhi bendera ya Tanzania kwa Vikundi vinavyoshiriki Zoezi hilo, Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu, Meja Jenerali Fadhil Omary Nondo amesema kuwa mazoezi ya pamoja kwa vikundi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki yanalenga kujenga uwezo wa pamoja na utayari katika kukabiliana na Ugaidi, Majanga ya asili,Uharamia na Ulinzi wa Amani.

Zoezi la Ushirikiano Imara linashirikisha vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na watumishi kutoka Taasisi na Idara mbalimbali za serikali kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Zoezi la Ushirikiano Imara 2024 linatarajiwa kufanyika nchini Rwanda kuanzia tarehe 08 Juni mwaka huu.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.