• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha Posted On: Saturday, 3rd May 2025

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda, amelipongeza Shirika la Mzinga kwa kuanzisha Mradi wa Kokoto Mkoa Arusha uliopo chini ya Kampuni Tanzu ya Shirika hilo.

Akizungumza wakati wa uwekaji wa jiwe la Msingi la mradi huo uliopo eneo la Nanja Wilayani Monduli Leo tarehe 03 Mei 2025. Jenerali Mkunda amelipongeza Shirika kuanzisha Mradi wa Kokoto wa Kimkakati.

Amewataka wasimamizi wa mradi huo kuwa makini na kutanguliza maslahi ya Shirika na kuuendesha kwa faida ili uwe shamba darasa kwa miradi mingine.

Akitoa taarifa ya mradi huo Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mzinga Luteni Jenerali Samwel Ndomba (Mstaafu) amemhakikishia Mkuu wa Majeshi kuwa Mradi huo utasimamiwa kwa umakini sana ili uwe na tija na kuchangia Uchumi wa Taifa.

Kwa upande wa Meneja Mkuu Shirika la Mzinga, ambalo linaendesha Kampuni Tanzu ya Mzinga, Brigedia Jenerali Seif Athumani Hamisi amesema Mitambo ya Mradi huo iliyofungwa ni ya kisasa na itakuwa na uwezo wa kuzalisha Kokoto Tani Mia Tatu (300) kwa saa moja.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 1
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 1
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.