• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ laadhimisha siku ya mazingira

JWTZ laadhimisha siku ya mazingira Posted On: Saturday, 5th June 2021

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeadhimisha siku ya Mazingira duniani leo tarehe 05 Juni, 2021 kwa kufanya shughuli mbalimbali za utunzaji mazingira ikiwa ni pamoja na upandaji miti, kufanya usafi namichezo.

Aidha, JWTZ limeadhimisha siku ya leo katika maeneo mbalimbali hapa nchini kama ifuatavyo:- Mkoani Tabora Maafisa na Askari wamefanya usafi katika Hospitali ya Rufaa ya Kitete, Mkoa wa Dar es Salaam wamefanya usafi katika Shule ya Msingi Changanyikeni, Hospitali ya Vijibweni, Hospitali ya Kigamboni na Barabara ya Tungi Ferry huko Kigamboni. Jijini Dodoma wamefanya usafi katika Soko la Ndugai, Hospitali ya Mkoa, na Hospitali ya Makole.

Vile vile, Maafisa na Askari wamefanya usafi katika Shule ya Msingi Mwenge iliyopo Kijiji cha Pangawe Wilaya ya Morogoro Mjini. Pamoja na usafi wa mazingira, Maafisa na Askari hao wameshiriki katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.