• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ laadhimisha siku ya michezo ya majeshi duniani

JWTZ laadhimisha siku ya michezo ya majeshi duniani Posted On: Friday, 16th February 2018

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 16 february 2018 limeungana na majeshi mengine duniani kuadhimisha siku ya michezo ya majeshi iliyofanyika katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Upanga jijini Dar es Salaam.

Siku ya michezo ya majeshi duniani (CISM) huadhimishwa kila mwaka tarehe 18 Februari lengo likiwa ni kueneza amani duniani kupitia michezo mbalimbali.

Hapo awali ilizoeleka kuwa majeshi hukutana wakati wa vita tu, hivyo baada ya vita kuu ya pili ya dunia Umoja wa Mataifa uliona iko haja ya kuwa na chombo ambacho kitawakutanisha wanajeshi wote kwenye michezo ili kudumisha amani, ndipo lilipozaliwa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM).

Baraza la Michezo la Majeshi Duniani lina jumla ya wanachama 132, na Tanzania ni moja ya nchi wanachama hai wa baraza hilo.

Maadhimisho ya siku ya michezo ya majeshi duniani imehudhuriwa na waambata jeshi wa nchi mbalimbali ikiwemo Uturuki, Nigeria, Kenya, Angola na Zimbabwe.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.