• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ Latolea Ufafanuzi wa Uvamizi wa Maeneo ya Jeshi

JWTZ  Latolea Ufafanuzi wa Uvamizi wa Maeneo ya Jeshi Posted On: Monday, 13th May 2019

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoaufafanuzi wa taarifa iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Jeshi limekata mazao na kubomoa makazi ya Wananchi wa maeneo ya Kisopwa, Mloganzila na Kiluvya “B” yaliyopo Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.

Akizungumza na Waandishi wa HabariMakao Makuu ya Jeshi hilo Upanga Jijin Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenziwa Habarina Uhusiano na Msemajiwa Jeshi hilo Luteni Kanali Gaudence Gervas Ilonda amesemakuwa eneohilo ni mali ya Jeshi na Wananchi waliovamia maeneo hayo waondoke ili kulipisha Jeshi hilo liendelee na Majukumu yake. Aidha, Luteni Kanali Illonda amesemakuwa sualahilo ni la muda mrefu na lilishapatiwa ufumbuzi kwa ngazi mbalimbali lakini wananchi hao wamekuwa wakikaidi Amri ya kuhama maeneo hayo.

Vile vileamewataka Wananchi nchini kote kuyaheshimu maeneo ya Jeshinakuziheshimu sheria za nchi. “Kwa mtu yeyote anaye fikiriakuvamia maeneo ya Jeshi aache mara moja kwani maeneo hayo si rafiki kwao na yametengwa kwaajili ya matumizi ya Jeshi na si vinginevyo” alisema Luteni Kanali Ilonda.

Hivyo basi Jeshi linawasihi Wananchi ambao watakuwa wananunua maeneo ambayo yako karibu na Kambi za Jeshi ni vema wakawasiliana na Jeshi hilo kabla yakununua maeneo hayo ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima baina ya Jeshi na Wananchi.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.