• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi...
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi...
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma...
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni...
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu...
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ lawaaga Majenerali wake

JWTZ  lawaaga Majenerali wake Posted On: Friday, 21st August 2020

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo tarehe 21 Agosti 2020 limewaaga Majenerali waliostaafu rasmi utumishi kwa kutimiza umri wa lazima.

Kama ilivyo mila na desturi za Jeshi, Majenerali hao waliagwakwa gwaride rasmi katika viwanja vilivyopo katika kambi ya Jenerali Abdallah Twalipo Mgulani jijijni Dar es Salaam.

Sherehe hizo za kuwaaga Majenerali hao zilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Jeshi wakiongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Venance Salvatory Mabeyo na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Yakubu Mohamed. Aidha viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Mkuu wa Majeshi wa tano Jenerali Robert Mboma (Mstaafu), Mkuu wa Majeshi wa Sita Jenerali George Waitara (Mstaafu), wanadhimu wakuu wastaafu akiwemo Luteni Jenerali Martin Mwakalindile , Luteni Jenerali Samwel Ndomba, Luteni Jenerali James Mwakibolwa na viongozi wengine wa kijeshi.

Akizungumza na Waandishi wa Habari Luteni Jenerali Paul Massao aliwataka Watanzania kuendelea kuitunza na kuienzi tunu tuliyopewa ya amani na utulivu nchini kwani ndio msingi pekee uliopelekea Tanzania kufika malengo ya kuwa na uchumi wa kati kwa kuwavutia wawekezaji. Aidha, aliwataka Maafisa na Askari wanaoendelea kulitumikia jeshi waendeleze nidhamu, uadilifu, utii na uhodari kwani ndizo nguzo pekee za jeshi lenye kuhitaji mafanikio na kuijenga taswira chanya ndani na nje ya nchi.

Habari Mpya

  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea siku 2
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 2
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.