• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Kamandi Ya Jeshi La Anga Yakabidhiwa Trekta.

Kamandi Ya Jeshi La Anga Yakabidhiwa Trekta. Posted On: Tuesday, 8th December 2020

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imekabidhi trekta aina ya NEW HOLLAND lenye thamani ya shilingi milioni 48.37 kwa Kamandi ya Jeshi la Anga kwa ajili ya kufanyia usafi kwenye uwanja wa ndege wa jeshi uliopo Ngerengere. Makabidhiano hayo yalifanyika Makao Makuu ya Shirika la Uzalishaji Mali la JKT (SUMA JKT) Mlalakuwa jijini Dar es Salaam tarehe 07 Disemba 2020.

Akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Charles Mbuge alisema kwa upande wa JKT wao wameunga mkono jitihada hizo za kuiwezesha Kamandi kuhudumia vema kiwanja hicho kwa kununua mashine ya kufyekea iliyofungwa kwenye trekta hilo yenye thamani ya shilingi milion 8.5.

Nae mgeni rasmi Meja Jenerali Kaisy Njelekela aliyekuwa akimwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na JKT, aliitaka Kamandi hiyo kulitunza trekta hilo ili liweze kutumika kwa muda mrefu.

Mwakilishi wa Kamandi hiyo Brigedia Jenerali Shaban Mani aliishukuru Serikali kupitia Wizara ya Ulinzi na JKT kwa kuwapatia trekta hilo kwani litarahisisha shughuli ya utunzaji wa kiwanja cha ndege Ngerengere.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.