• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Makamu wa Rais Afungua Mkutano wa CISM

Makamu wa Rais Afungua Mkutano wa CISM Posted On: Tuesday, 14th May 2024

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amelipongeza Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) kwa kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa CISM.

Daktari Mpango aliwasisitiza wajumbe kuwa Baraza hilo lipo katika kujenga amani na upendo miongoni mwa nchi wanachama ambapo alihimiza CISM kuendelea kuhubiri Amani na Upendo kupitia michezo.

Naye, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax amesema Mkutano huu wa 79 unawakutanisha wanachama, kubadilishana uwezo na kujenga maelewano kupitia michezo.

Amempongeza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda Kwa maandalizi na kufanyika kwa mkutano huo wa kihistoria.

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amesema mkutano mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani nchini kunaleta tija na fursa mbalimbali kutokana na uwepo wa washiriki kutoka nchi hizo.

Mkutano wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) unafanyika nchini ikiwa ni mara ya pili, baada ya mwaka 1991 mwezi Mei Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano wa CISM uliofanyika Jijini Arusha.

Wajumbe wa mkutano huo watafanya ziara kutembelea sehemu mbalimbali za vivutio vya utalii Jijini Dar es Salaam na Zanzibar ili kuitangaza Tanzania.

Mkutano mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani umefunguliwa rasmi leo tarehe 14 Mei 2024 na utamalizika tarehe 19 Mei 2023.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.