• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu Wa Majeshi Akabidhiwa Ofisi

Mkuu Wa Majeshi  Akabidhiwa Ofisi Posted On: Tuesday, 5th July 2022

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda tarehe 05 Julai 2022 amekabidhiwa ofisi rasmi na aliyekuwa mtangulizi wake Jenerali Venance Salvatory Mabeyo ambaye amestaafu utumishi jeshini.

Jenerali Mkunda aliwasili Makao Makuu ya Jeshi (MMJ) muda wa saa mbili na nusu asuhuhi (0830) Jijini Dodoma na kukagua gwaride Maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake ikiwa ndio mara ya kwanza kufika Makao Makuu ya JWTZ akiwaMkuu wa Majeshi na kisha kusalimiana na Makamanda na Wanadhimu wa JWTZ wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Haji Othman.

Mkuu wa Majeshi Jenerali Mkunda aliapishwa tarehe30 Juni 2022 baada ya kuteuliwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan kushika wadhifa huo kufuatia aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venus Mabeyo kustaafu kwa heshima kwa umri.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.