• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge

Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge Posted On: Thursday, 11th October 2018

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo Oct 10 alifanya ziara kutembelea maeneo ya Selous katika maporomoko ya maji ya mto Rufiji mkoani Pwani ambapo mradi mkubwa wa Stiegler’s Gorge unatarajiwa kujengwa ili kuzalisha umeme wa megawati 2,000 zitazosaidia kutatua tatizo la umeme hapa nchini.

Akiwa katika mradi huo Jenerali Mabeyo alisema kuwa amefarijika na hatua ya Serikali kulishirikisha JWTZ katika miradi mbalimbali ili nalo liweze kujiandaa vyema katika jukumu zima la ulinzi wa rasilimali za taifa.Aidha, kushirikishwa huko ni chachu ya maendeleo katika ujenzi wa viwanda vya uzalishaji na kutoa fursa kwa Watanzania kupata ajira.

Vile vile Jenerali Mabeyo alipata fursa ya kutembelea eneo la Stesheni ya Fuga ya Tazara ambapo itakuwa ni kituo kikuu cha kupokelea na kuhifadhi vifaa vya ujenzi wa mradi huo.Pia aliipongeza Serikali kwa hatua iliyochukua ya kutengeneza miundombinu ili kuhakikishaeneo la mradi linafikika kwa urahisi.Mradi huo unatarajiwa kuchukua takribani miezi 36 hadi kukamilika.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.