• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Mnadhimu Mkuu Waapishwa

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Mnadhimu Mkuu Waapishwa Posted On: Thursday, 30th June 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuapisha Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) pamoja na Luteni Jenerali Salim Haji Othman kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.

Kabla ya kiapo hicho cha utii, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu aliwavalisha vyeo vipya Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na Meja Jenerali Salim Haji Othman kuwa Luteni Jenerali.

Mara baada ya kuapishwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Stergomena Tax aliwapongeza na kusema hana mashaka na utendaji kazi wao.

Kwa upande wake Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mhe Samia Suluhu Hassan amempongeza Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi mstaafu Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa utendaji wake na kuahidi kuendelea kumtumia kwenye majukumu mbalimbali atakazompangia

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.