• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko

Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko Posted On: Friday, 7th September 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuliamefanya uzinduzi wa Vizimba 9 na Mabwawa 18 ya Samaki aina ya Sato yanayomilikiwa na Kikosi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Mjini Musoma tarehe 6 Septemba 18

Akizungumza baada ya uzinduzi huo Dkt. Magufuli amelipongeza Jeshi hilo kwa kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali na kuahidi kukisaidia Kikosi hicho ili kuendeleza mradi huo.

Naye Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akizungumza wakati wa uzinduzi huo amesema Jeshi lipo kwenye mpango wa kujenga kiwanda cha kuchakata minofu ya samaki kwani hii ni hatua ya mwanzoni ikiwa ni katika kulifanya Jeshi lisiwe tegemezi kutoka Serikalini.


Akizungumza baada ya kukaribishwa na mwenyeji wake Waziri mwenye dhamana ya Mifugo na Uvuvi Mh. Luhaga Mpina,amelihakikishia Jeshi kuwa ofisi yake ipo wazi wakati wote kutoa msaada wa kitaalamu pindi unapohitajka.

Aidha,Mkuu wa Kikosi Luteni Kanali Mshashi alimueleza Rais kuwa mradi huo mpaka sasa umetumia zaidi ya shilingi milioni mia mbili na kuwa mradi huo utakapoanza kutoa samaki unatarajia kuzalisha shilingi milioni 700 kwa mwezi.

Habari Mpya

  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea masaa 9
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 4
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.