• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Samia ala Kiapo

Rais Samia ala Kiapo Posted On: Monday, 3rd November 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameapishwa rasmi kuiongoza Tanzania kwa kipindi cha pili katika sherehe zilizofanyika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 03 Novemba 2025.

Akilihutubia taifa mara baada ya kula kiapo, Rais Dkt. Samia amewashukuru watanzania kwa kumchagua kuiongoza Tanzania kwa kipindi kingine na kusisitiza wananchi wote kuweka pembeni tofauti zao za kisiasa na kuungana ili kulijenga taifa.

Aidha, Rais Samia amevitaka Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha hali ya usalama inaimarishwa na shughuli za kila siku za wananchi kurejea baada ya vurugu zilizotokea wakati wa uchanguzi Mkuu na kusababisha uharibifu wa mali za umma na za watu binafsi.

Habari Mpya

  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea masaa 11
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea wiki 2
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea wiki 4
  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.