• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Tanzania na Jamhuri ya Comoro zaimarisha ushirikiano kijeshi

Tanzania na Jamhuri ya Comoro zaimarisha ushirikiano kijeshi Posted On: Friday, 9th September 2022

Tanzania na Jamhuri ya Comoro zimetiliana saini mkataba wa ushirikiano kwenye nyanja za kijeshi.

Utiaji huo wa saini umefanywa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Stergomena Tax na Waziri wa Ulinzi Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Visiwa vya Comoro Mhe Yousoufa Mohamed Ali jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya kutiliana saini mkataba huo, Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe Stergomena Tax amesema mkataba huo utaongeza na kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizi mbili hasa katika nyanja ya kiulinzi, kiusalama, kimafunzo, uzalishaji mali pamoja na tiba.

Naye Waziri wa Ulinzi Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Visiwa vya Comoro Yousoufa Mohamed Ali ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa na ushirikiano mzuri na nchi yake na kuahidi kuendelea nao kwani una manufaa kwa pande zote mbili.

Tanzania na Comoro ni marafiki wa muda mrefu na zimekuwa zikishirikiana katika nyanja mbalimbali.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.