• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

TANZBATT–7 Wahitimisha Jukumu la Ulinzi wa Amani DRC

TANZBATT–7 Wahitimisha Jukumu la Ulinzi wa Amani DRC Posted On: Saturday, 13th February 2021

Kikosi cha 7 cha Ulinzi wa Amani kutoka Tanzania (TANZBATT-07) kinachohudumu katika Ulinzi wa Amani Jimboni Kivu Kaskazini nchini DRC kimehitimisha rasmi majukumu yake na kukabidhi jukumu hilo kwa Kikosi cha nane 8 (TANZBATT-08) ambacho kimewasili tarehe 09 January 2021, tayari kwa kupeperusha Bendera ya Taifa katika ardhi ya DRC kwenye Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Kikosi cha kujibu Mashambulizi (Force Intervention Brigade) MONUSCO.


Kamanda Kikosi cha 7 Luteni Kanali John Ndunguru (kulia) akikabidhi Bendera ya Taifa kwa Kamanda Kikosi cha 8 Luteni Kanali Fortunatus Nassoro.

Baada ya kukabidhi Bendera hiyo kwa Gwaride Maalum, Kamanda Kikosi cha 7 Luteni Kanali John Ndunguru amesema kufikia hatua hiyo ni kutokana na umoja na mshikamano uliopo baina Maafisa na Askari walinda Amani.

Aidha, Kamanda Kikosi cha 8 Luteni Kanali Fortunatus Nassoro amesema atayaendeleza yote yaliyofanywa na Kikosi kinachoondoka, ikiwa ni pamoja na kuimarisha mahusiano kati ya Walinda Amani na Raia

Habari Mpya

  • Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    Majeshi ya Ulinzi wa nchi za Falme za Kiarabu afanya ziara ya kikazi nchini Tanzania

    tokea mwezi 1
  • JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    JWTZ latoa msaada kwa Manusura wa mauaji ya Kimbari Nchini Rwanda

    tokea mwezi 1
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea mwezi 1
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.