• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Watanzania wamuaga rasmi Hayati Dkt Benjamin William Mkapa

 Watanzania wamuaga rasmi Hayati Dkt Benjamin William Mkapa Posted On: Wednesday, 29th July 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli amewaongoza Watanzania katika mazishi ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya tatu Hayati Dkt William Benjamin Mkapa yaliyofanyika kijijini kwao Lupaso katika Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara leo tarehe 29 Julai 2020

Shughuli hizo za mazishi zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa akiwemo Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya pili, Mhe. Ally Hassan Mwinyi na Raismstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tatu, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Rais na Mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar Mhe. Ali Mohamed Shein

Aidha, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kuiendeleza misingi aliyoiweka Hayati Mzee Mkapa Rais wa awamu ya tatu kwani yeye ndiye aliyeweka misingi Sera ya kimkakati ya kuifikisha Tanzania katika Uchumi wa kati ifikapo 2025 na kukuza uchumi wa viwanda.

"Rais Mkapa ndiye aliyeiandaa dira ya kufikia Uchumi wa kati na wa viwanda japo wakati wa utekelezaji wake watu wengi walikuwa wanapiga kelele lakini aliniambia kamwe hawataelewa faida ya hiki ninachokifanya kwa sasa. Nitakuachia mpango huu na uuendeleze kwa wakati wako kwa kuwa mpango huu ni wa muda mrefu mpaka 2025". alisema Dkt Jakaya Kikwete na kuongeza kuwa Rais aliyepo madarakani Dkt. John Magufuli anajukumu la kuhakikisha analifikia lengo hilo.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.