• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Waziri Mwakyembe kufungua Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi

Waziri Mwakyembe kufungua Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi Posted On: Monday, 7th May 2018

Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano na Msemaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) Kanali Ramadhani Dogoli amezungumzia ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF CUP) utakaofanyika kesho tarehe 8 Mei, 2018 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari waliofika Makao Makuu ya Jeshi Upanga jijini Dar es Salaam, Kanali Dogoli amesema mashindano hayo yapo katika mzunguko waTano (5) na yatafanyikampaka Mei 18, 2018 katika Uwanja wa Uhuru na viwanjavilivyopo katika Kambi ya Jenerali Abdalah Twalipo, Mgulani.

Kanali Dogoli amesema kuwa michezo itakayoshindaniwa ni Mpira wa Miguu kwa Wanaume, Mpira wa Pete kwa Wanawake, Mpira wa Kikapu kwa Wanaume na Wanawake, Mpira wa Wavu kwa Wanaume na Wanawake, Mpira wa Mikono kwaWanaume na Wanawake, Ngumi za Ridhaa kwa Wanaume, Riadha kwa Wanaume na Wanawake na Ulengaji Shabaha kwa Wanaume na Wanawake.

Washiriki wa Mashindano hayo ni Wanajeshi kutoka KamandizaJWTZ ambazo ni Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi (NGOME), Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu(Nyika), Kamandi ya Jeshi la Anga (AFC), Kamandi ya Jeshila Wanamaji (NC) na Kamandi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

Mgeni rasmi siku ya ufunguzi anatarajiwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. HarissonGeorge Mwakyembe (MB).

Hakutakuwa na Kiingilio, Wananchi Wote mnakaribishwa.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.