• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Ziara ya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama

Ziara ya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Posted On: Friday, 18th October 2019

Mwenyekiti wa Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo, amefanya ziara katika mpaka wa Kusini mwa Tanzania. Katika ziara hiyo aliambatana na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, Mkurungezi Mkuu wa Usalama wa Taifa CP Diwani Athmani, Kamishnawa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala walifanya ziara ya kutembelea mpaka wa kusini katika vituo vya Mnazi Bay, Kilambo, Kitaya na Mtambaswala kuanzia tarehe 16 Octoba hadi 17 Octoba 2019.

Akizungumza na wanakijiji wa vijiji vyaKitaya na Mtambaswala, Jenerali Mabeyo aliwakumbusha wanakijiji hao kuwa jukumu la ulinzi wa taifa linaanzia kwa wananchi wenyewe hivyo ni vema wananchi wakatoa ushirikiano kwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama pale wanapoona kuna watu wanao watilia mashaka katika maeneo yao ili hatua stahiki zichukuliwe kwa ajili ya kuzuia uhalifu usitokee.

Aidha Jenerali Mabeyo wakati wa ziara hiyo alinzidua majengo ya Ofisi na madarasa ya Shule ya Msingi iliyopewa jina la Jenerali Venance Mabeyo iliyopo Michiga katika kijiji Pacheni wilayani Namtumbo mkoani Mtwara.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.