• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Amiri Jeshi Mkuu Azindua Mkutano wa Makamanda

Amiri Jeshi Mkuu Azindua Mkutano wa Makamanda Posted On: Monday, 15th November 2021

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua Mkutano wa tano wa makamanda tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Brigedi ya Chui Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza kwa kutoa neno la utangulizi katika mkutano huo, Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo alisema, Hali ya Ulinzi wa mipaka ya nchi ni shwari, wapiganaji wanaendelea kuhakikisha mipaka inakuwa salama na kuzuia wahamiaji haramu kuingia nchini.

Pia, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe. Stargomena Lawrence Tax, alimshukuru Rais kwa kukubali kufungua Mkutano na hii imewapa morali Makamanda. Alimshukuru Amiri Jeshi Mkuu kwa kuliwezesha Jeshi kwa kulipatia zana, mafunzo na kuzingatia maslahi ya wanajeshi, lengo ni kuendelea kuimarisha Ulinzi na usalama wa Mipaka.

Akizungumza na Makamanda wa JWTZ, Mhe. Rais amelipongeza Jeshi kwa kuendelea kuimarisha ulinzi wa mipaka ya nchi na kusema kuwa, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania litaendelea kulinda uhuru na mipaka ya nchi kwa kuzingatia umahiri na nidhamu wakati wote wa kutekeleza wajibu wake.

Aliongeza kuwa, amani na usalama ni msingi wa maendeleo katika taifa hivyo Jeshi liendelee kusimamia Amani ili kuwafanya wawekezaji kuwa na uhakika wa usalama kwa kuwekeza mitaji yao na serikali kupanga shughuli za maendeleo.

Mkutano huo unaendeshwa na Mkuu wa Majeshi kujadili na Makamanda kuhusu ulinzi na masuala ya Taifa.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.