• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mkunda atoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Rais

Jenerali Mkunda atoa salamu za rambirambi kwa niaba ya Rais Posted On: Saturday, 8th March 2025

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan amewasilisha Salamu za rambirambi kwa familia za wapiganaji wawili Sgt Mohammed Abdallah Suleiman na Pte John Nyewata John waliofariki kwa kushambuliwa na Kikundi cha Waasi cha M23 mwezi Januari 2025 mjini Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Akizungumza kwa nyakati tofauti na wanafamilia, ndugu na wanahabari nyumbani kwa wazazi wa marehemu eneo la Kiembe Samaki Zanzibar na Kishiri Jijini Mwanza Jenerali Mkunda amesema Mashujaa hao walipoteza maisha wakitekeleza jukumu la Ulinzi wa amani chini ya mwamvuli wa Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC.

Amewaambia ndugu na jamaa wa marehemu kuwa Mheshimiwa Rais amesikitishwa sana na vifo vya Mashujaa wetu na anaungana nao katika kuomboleza vifo vya wapendwa wao.

Sambamba na Salamu za rambirambi, Mheshimiwa Rais ametoa ubani kwa familia hizo ikiwa ni pole kwa msiba huo.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.