• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Dkt. John Pombe Magufuli azindua kituo cha Uwekezaji

Rais Dkt. John Pombe Magufuli azindua kituo cha Uwekezaji Posted On: Thursday, 17th May 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo Mei 17, 2018 amezindua Kituo cha Uwekezaji cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kilichopo katika Kambi ya Mgulani JKT Jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli amepata fursa ya kutembelea kiwanda cha maji ya Uhuru Peak na kiwanda cha ushonaji kituoni hapo.

Katika hotuba yake Dkt. Magufuli ameeleza kufurahishwa kwake na hatua ya JWTZ kuanzisha viwanda hivyo kwani vitaweza kupunguza tatizo la ajira pamoja na kulifanya jeshi kupunguza utegemezi.

Hafla fupi ya uzinduzi wa Kituo hicho cha Uwekezaji imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt. Hussein Mwinyi, Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Charles Mwijage, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Utumishi Bora Mhe. George Mkuchika, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Tanzania Jenerali Venance Mabeyo, Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Martin Busungu na viongozi wengine kutoka Serikalini na JWTZ.

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.