• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • JWTZ kuendelea kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la Rwanda

    JWTZ kuendelea kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la Rwanda

    tokea miaka 4

    ​Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limesema litaendelea kushirikiana na Jeshi la Ulinzi la Rwanda ili kudumisha amani na ustawi wa maendeleo kwa nchi zote mbili.

    Soma zaidi
  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miaka 4

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi 386 leo tarehe 17 Aprili 2021 katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Dodoma.

    Soma zaidi
  • Kwaheri Dkt John Pombe Magufuli

    Kwaheri Dkt John Pombe Magufuli

    tokea miaka 4

    ​Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan aongoza maelfu ya waombolezaji kwenye mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika makaburi ya familia nyumbani kwake wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita.

    Soma zaidi
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI

    SALAMU ZA RAMBIRAMBI

    tokea miaka 4

    Kwa niaba ya Maafisa, Askari na Watumishi wa Umma, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo atoa pole .

    Soma zaidi
  • Watanzania Watoa  Heshima za Mwisho Kanda ya Ziwa

    Watanzania Watoa Heshima za Mwisho Kanda ya Ziwa

    tokea miaka 4

    Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo amewaongoza maelfu ya waombolezaji katika kutoa Heshima za Mwisho kwa mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.

    Soma zaidi
  • Pumzika kwa Amani Mwana wa Afrika

    Pumzika kwa Amani Mwana wa Afrika

    tokea miaka 4

    Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza maelfu ya watanzania jijini Dodoma na mikoa jirani katika siku ya tatu ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Jamhuri jijini humo.

    Soma zaidi
  • Rais Samia Suluhu Hassan aongoza maelfu kumuaga Dkt. Magufuli

    Rais Samia Suluhu Hassan aongoza maelfu kumuaga Dkt. Magufuli

    tokea miaka 4

    Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 20 Machi 2021 amewaongoza Viongozi na maelfu ya Watanzania katika shughuli za kutoa Heshima za Mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

    Soma zaidi
  • Mama Samia: Rais wa Kwanza Mwanamke Tanzania

    Mama Samia: Rais wa Kwanza Mwanamke Tanzania

    tokea miaka 4

    Mama Samia Suluhu Hassan ameapishwa na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibrahim Hamis Juma leo Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.