• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    tokea miaka 3

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, ametoa salamu za rambirambi kwa Wakenya wote kwa kufiwa na Rais mstaafu wa Awamu ya tatu, Mhe. Mwai Kibaki

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    tokea miaka 3

    Mkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Wilson Mbadi awasili nchini kwa ziara ya kikazi

    Soma zaidi
  • GAFTAG NA JWTZ KUIMARISHA USHIRIKIANO  KATIKA MASWALA YA UTAFITI WA ULINZI WA AMANI

    GAFTAG NA JWTZ KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MASWALA YA UTAFITI WA ULINZI WA AMANI

    tokea miaka 3

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo March 3, 2022 limekabidhiwa Jengo la Utafiti na Kikundi cha Ushauri wa Kiufundi Cha Jeshi la Ujerumani (German Armed Forces Technical Advisory Group - GAFTAG) lililojengwa katika Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    WAZIRI AKABIDHI LESENI MARUBANI

    tokea miaka 3

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax leo February 23, 2022 amekabidhi Leseni za Urubani kwa Maafisa 20 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliomaliza mafunzo yao nchini Afrika Kusini Novemba 2021.

    Soma zaidi
  • Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi Wazinduliwa Dodoma

    tokea miaka 3

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) ameweka rasmi jiwe la msingi katika uzinduzi wa Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania inayojengwa Msalato Dodoma tukio lililofanyika Alhamisi tarehe 10 Feb 22.

    Soma zaidi
  • JWTZ NA JESHI LA MAREKANI KUBADILISHANA UZOEFU

    JWTZ NA JESHI LA MAREKANI KUBADILISHANA UZOEFU

    tokea miaka 3

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani leo Januari 28, 2022. Yamefungua zoezi la pamoja kwa Maafisa na Askari wa vikundi maalum wa majeshi hayo.

    Soma zaidi
  • Luteni Jenerali Methew Mkingule atembelea Mpaka wa Kusini na Msumbiji

    Luteni Jenerali Methew Mkingule atembelea Mpaka wa Kusini na Msumbiji

    tokea miaka 3

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Methew Mkingule amefanya ziara ya kikazi ya kukagua Mipaka ya Kusini na kutembelea Kikundi cha Askari wa Tanzania walioko katika Umoja wa nchi za Kusini mwa Afrika nchini Musmbiji (SADC Mission in Mozambique).

    Soma zaidi
  • JWTZ wavishwa Nishani Dodoma

    JWTZ wavishwa Nishani Dodoma

    tokea miaka 3

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan amewavisha Nishani Maafisa na Askari wa JWTZ.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea masaa 13
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea siku 4
  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 3
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.