• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi...
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi...
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma...
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni...
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu...
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo Octoba 9 amefanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa (Standard Gauge Railway) unaoendelea nchini. Reli hiyo inaanzia Dar es salaam hadi Dodoma.

    Soma zaidi
  • Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko

    Rais Magufuli Azindua Mabwawa Na Vizimba Vya Samaki Kambi Ya Jeshi Makoko

    tokea miaka 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa Vizimba 9 na Mabwawa 18 ya Samaki aina ya Sato yanayomilikiwa na Kikosi cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Mjini Musoma tarehe 6 Septemba 18

    Soma zaidi
  • Zoezi "Utulivu Africa IV CPX 2018" lafungwa rasmi leo

    Zoezi "Utulivu Africa IV CPX 2018" lafungwa rasmi leo

    tokea miaka 6

    Zoezi la Utulivu Africa IV CPX 2018 ambalo lilifanyika kwa muda usiopungua siku kumi tangu kuanza kwake leo tarehe 03 Septemba 18 limefungwa rasmi na Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Uganda Mh. Lt col (rtd) Charles Engola katika viwanja vya Gadafi Jinja nchini Uganda

    Soma zaidi
  • JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    JWTZ laadhimisha miaka 54 tokea kuanzishwa kwake

    tokea miaka 6

    ​Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Paul Makonda amelipongeza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania katika juhudi zake za kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali nchini hususan Jiji la Dar es salaam nakutaka kuendelezwa juhudi hizo ili kutokomeza maradhi ya maambukizi nchini.

    Soma zaidi
  • JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi

    tokea miaka 6

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 24 Agosti 2018 limewaaga Majenerali waliostaafu utumishi jeshini.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    Waziri wa Ulinzi na JKT Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhi ukuta

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mh. Dkt. Hussein Mwinyi akabidhiwa ukuta wenye urefu wa kilomita 14.4, unaozunguka uwanja wa ndegevita ulioko Ngerengere Mkoani Morogoro .

    Soma zaidi
  • Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) aagwa

    Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) aagwa

    tokea miaka 6

    ​​Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Meja Jenerali Joseph Lesulie (mstaafu) leo tarehe17 Agosti, 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu)  aagwa.

    Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu) aagwa.

    tokea miaka 6

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeaga rasmi Mwili wa Marehemu Brigedia Jenerali Harold Mziray (mstaafu) leo tarehe14 Agosti, 2018 katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea wiki 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 3
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 4
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.