• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China wawasili nchini

    Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China wawasili nchini

    tokea miaka 6

    Ujumbe kutoka Jeshi la Ukombozi la Watu wa China ukiongozwa na Kamisaa wa Siasa katika Idara ya Vifaa, Meja Jenerali Ma Kui umewasili nchini kwa ziara ya kikazi

    Soma zaidi
  • Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara mkoani Rukwa,

    Jenerali Venance Mabeyo afanya ziara mkoani Rukwa,

    tokea miaka 6

    ​​Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amefanya ziara maalum ya kikazi mkoani Rukwa, ambapo leo tarehe 21 Novemba amevitembelea vikundi vya JWTZ vilivyopo pembezoni mwa Ziwa Tanganyika.

    Soma zaidi
  • Waziri wa Ulinzi na JKT  Dkt Hussein Mwinyi ziarani Mkoani Mtwara

    Waziri wa Ulinzi na JKT Dkt Hussein Mwinyi ziarani Mkoani Mtwara

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT ) Dkt Hussein Mwinyi (MB) leo amewasili rasmi Mkoani Mtwara katika moja ya ziara yake kuona maendeleo ya Operesheni Korosho

    Soma zaidi
  • Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafungwa rasmi jijini Tanga

    Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafungwa rasmi jijini Tanga

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi (Mbunge) leo tarehe 16 Novemba amefunga rasmi zoezi la Kijeshi la Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki liitwalo Ushirikiano Imara 2018, Mlingano jijini Tanga.

    Soma zaidi
  • JWTZ laanza rasmi kutekeleza agizo la Amiri Jeshi Mkuu

    JWTZ laanza rasmi kutekeleza agizo la Amiri Jeshi Mkuu

    tokea miaka 6

    Hatimaye malori ya JWTZ yameanza rasmi safari ya kuelekea mikoa ya Kusini na Pwani katika kutekeleza agizo la Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli

    Soma zaidi
  • Rais Magufuli atembelea Kikosi cha  Usafirishaji cha JWTZ

    Rais Magufuli atembelea Kikosi cha Usafirishaji cha JWTZ

    tokea miaka 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli amefanya ziara fupi katika kikosi cha Usafishaji cha JWTZ.

    Soma zaidi
  • Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafunguliwa rasmi jijini Tanga

    Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafunguliwa rasmi jijini Tanga

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (Mbunge) amefungua rasmi zoezi la Medani la Majeshi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lijulikanalo “Ushirikiano Imara 2018” leo Mlingano, jijini Tanga.

    Soma zaidi
  • Mhe. Paul Makonda akabidhi mabasi JWTZ

    Mhe. Paul Makonda akabidhi mabasi JWTZ

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amekabidhi mabasi makubwa idadi tatu kwa JWTZ na basi moja dogo kwa Jeshi la Magereza baada ya magari hayo kufanyiwa ukarabati na kampuni ya Dar Coach Ltd iliyopo jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa afungua mashindano ya CDF CUP.

    tokea siku 1
  • ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    ​MEJA JENERALI GAGUTI AHITIMISHA MAFUNZO ASKARI WAPYA.

    tokea siku 5
  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 3
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.