• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Rais Magufuli atembelea Kikosi cha  Usafirishaji cha JWTZ

    Rais Magufuli atembelea Kikosi cha Usafirishaji cha JWTZ

    tokea miaka 6

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli amefanya ziara fupi katika kikosi cha Usafishaji cha JWTZ.

    Soma zaidi
  • Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafunguliwa rasmi jijini Tanga

    Zoezi Ushirikiano Imara 2018 lafunguliwa rasmi jijini Tanga

    tokea miaka 6

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (Mbunge) amefungua rasmi zoezi la Medani la Majeshi ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki lijulikanalo “Ushirikiano Imara 2018” leo Mlingano, jijini Tanga.

    Soma zaidi
  • Mhe. Paul Makonda akabidhi mabasi JWTZ

    Mhe. Paul Makonda akabidhi mabasi JWTZ

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda amekabidhi mabasi makubwa idadi tatu kwa JWTZ na basi moja dogo kwa Jeshi la Magereza baada ya magari hayo kufanyiwa ukarabati na kampuni ya Dar Coach Ltd iliyopo jijini Dar es Salaam.

    Soma zaidi
  • Mafunzo Ya Ngumi Na Mpira Wa Kikapu Yafungwa Rasmi

    Mafunzo Ya Ngumi Na Mpira Wa Kikapu Yafungwa Rasmi

    tokea miaka 6

    ​​Mafunzo ya Makocha wa mchezo wa Ngumi na Mpira wa Kikapu yaliyokuwa yakiendeshwa kwa Makocha wa JWTZ yamefungwa rasmi tarehe 01 Februari 2018 kwenye Kambi ya JKT Mgulani.

    Soma zaidi
  • ​JWTZ laendelea kujizatiti na Majanga

    ​JWTZ laendelea kujizatiti na Majanga

    tokea miaka 6

    ​Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania linaendelea kujizatiti dhidi ya majanga yanayoikumba dunia kwa hivi sasa ikiwemo, ugaidi,uharamia,na maafa mengine.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mabeyo awakaribisha nyumbani Maafisa na Askari

    Jenerali Mabeyo awakaribisha nyumbani Maafisa na Askari

    tokea miaka 6

    Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewakaribisha nyumbani Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kundi la Tano la Ulinzi wa Amani (TANZBATT-5)

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge

    Mkuu wa Majeshi atembelea mradi wa Stiegler’s Gorge

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo afanya ziara kutembelea maeneo ya Selous katika maporomoko ya maji ya mto Rufiji mkoani Pwani

    Soma zaidi
  • Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

    tokea miaka 6

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo Octoba 9 amefanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa (Standard Gauge Railway) unaoendelea nchini. Reli hiyo inaanzia Dar es salaam hadi Dodoma.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • ...
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.