• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Jenerali Mkunda awataka kutekeleza majukumu kwa Weledi

    Jenerali Mkunda awataka kutekeleza majukumu kwa Weledi

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amewataka Maafisa na Askari wa JWTZ, Vyombo vya Usalama pamoja na Watumishi kutoka Taasisi za Serikali kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kupeperusha vyema bendera ya Tanzania.

    Soma zaidi
  • Makamu wa Rais Afungua Mkutano wa CISM

    Makamu wa Rais Afungua Mkutano wa CISM

    tokea mwaka 1

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amelipongeza Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) kwa kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa CISM.

    Soma zaidi
  • Waziri Tax azindua bomu la kufukuza Tembo.

    Waziri Tax azindua bomu la kufukuza Tembo.

    tokea mwaka 1

    Waziri wa Ulinzi na JKT Mheshimiwa Dkt Stergomena Tax amezindua bomu baridi lenye uwezo mkubwa wa kutawanya makundi ya Tembo yanayovamia makazi ya watu

    Soma zaidi
  • Jenerali  Mkunda atembelewa na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India

    Jenerali Mkunda atembelewa na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India, Luteni Jenerali Dokta Dinesh Singh Rana ofisini kwake, Upanga Jijini Dar Es Salaam.

    Soma zaidi
  • Mnadhimu Mkuu wa JWTZ akutana na ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM)

    Mnadhimu Mkuu wa JWTZ akutana na ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM)

    tokea mwaka 1

    Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Salum Haji Othman amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM), ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Baraza hilo,Navy Captain Robert Recchie Upanga, Jijini Dar es Salaam .

    Soma zaidi
  • Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika wakutana TZ

    Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika wakutana TZ

    tokea mwaka 1

    ​Mkutano wa Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika na Marekani umefunguliwa rasmi tarehe 01 May 24 jijini Dar es Salaam, kujadili mambo mbalimbali likiwemo suala la ugaidi Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda atembelea ujenzi wa Hospitali ya Jeshi

    Jenerali Mkunda atembelea ujenzi wa Hospitali ya Jeshi

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amefanya ziara na kutembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi inayojengwa Msalato Jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano Yafana

    Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano Yafana

    tokea mwaka 1

    ​Amiri Jeshi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan ampongeza Jenerali Jacob John Mkunda wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa na jeshi lililo imara kulinda mipaka ya nchi ya Tanzania.

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 32
  • 33
  • ›

Habari Mpya

  • Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    Tanzania kuanzisha Kiwanda cha Magari

    tokea wiki 1
  • Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    Amiri Jeshi Mkuu amzawadia Nyumba Simbu

    tokea wiki 1
  • Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    Sajini Simbu apokelewa Kishujaa

    tokea wiki 2
  • Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    tokea wiki 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.