• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Habari

  • Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika wakutana TZ

    Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika wakutana TZ

    tokea mwaka 1

    ​Mkutano wa Wakuu wa Usalama na Utambuzi wa Afrika na Marekani umefunguliwa rasmi tarehe 01 May 24 jijini Dar es Salaam, kujadili mambo mbalimbali likiwemo suala la ugaidi Afrika na Duniani kwa ujumla.

    Soma zaidi
  • Jenerali Mkunda atembelea ujenzi wa Hospitali ya Jeshi

    Jenerali Mkunda atembelea ujenzi wa Hospitali ya Jeshi

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amefanya ziara na kutembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi inayojengwa Msalato Jijini Dodoma.

    Soma zaidi
  • Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano Yafana

    Maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano Yafana

    tokea mwaka 1

    ​Amiri Jeshi Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan ampongeza Jenerali Jacob John Mkunda wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa na jeshi lililo imara kulinda mipaka ya nchi ya Tanzania.

    Soma zaidi
  • Jenerali  Mkunda akutana na  Naibu Katibu Mkuu wa UN

    Jenerali Mkunda akutana na Naibu Katibu Mkuu wa UN

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Ulinzi wa Amani Bw. Jean Pierre Lacroix

    Soma zaidi
  • JWTZ YAKABIDHI KIJITI KWA ZIMBABWE

    JWTZ YAKABIDHI KIJITI KWA ZIMBABWE

    tokea mwaka 1

    Nchi ya Zimbabwe leo imekabidhiwa Uenyekiti wa Kikundi Kazi cha Rasilimali Watu cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

    Soma zaidi
  • JWTZ watakiwa kufanya kazi kwa Weledi

    JWTZ watakiwa kufanya kazi kwa Weledi

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Tawi la Ugavi na Uhandisi wa JWTZ Meja Jenerali Hawa Kodi amewataka Wataalam wa Lojistiki ndani ya JWTZ kuwa wabunifu katika utekelezaji wa majukumu yao wakati wa Amani na wakati wa vita.

    Soma zaidi
  • Rais Dkt. Samia atunuku Kamisheni

    Rais Dkt. Samia atunuku Kamisheni

    tokea mwaka 1

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

    Soma zaidi
  • Askari wapya wahitimu Mafunzo Kihangaiko

    Askari wapya wahitimu Mafunzo Kihangaiko

    tokea mwaka 1

    Mkuu wa Tawi la Utumishi Jeshini Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amefunga Mafunzo ya Awali ya Kijeshi kwa Askari wapya wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

    Soma zaidi
  • ‹
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • ...
  • 31
  • 32
  • ›

Habari Mpya

  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea wiki 1
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    TANGAZO LA NAFASI ZA KUANDIKISHWA JESHINI

    tokea wiki 2
  • ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    ​Jenerali Mkunda Ahitimisha Mafunzo Askari Wapya

    tokea wiki 2
  • Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    Meja Jenerali Nkambi ateta na Ujumbe kutoka Jeshi la Uganda

    tokea wiki 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.