• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Wasifu


Strategic Intelligence, Washington DC

Jenerali Venance Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi wa nane kuliongoza Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tangu alipoteuliwa tarehe 06 February 2017 na Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli.

Jenerali Venance Mabeyo alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 01 January 1979 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni mwaka 1980 kuwa Luteni Usu.

Jenerali Venance Mabeyo alihudhuria kozi mbalimbali ndani na nje ya nchi, baadhi ya nchi hizo ni Kenya, India, Canada na Marekani

Jenerali Venance Mabeyo katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwambata Jeshi nchini Rwanda, Msaidizi wa Mkuu wa Majeshi , Mkuu wa Tawi la Usalama na Utambuzi na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ.

Jenerali Venance Mabeyo ametunukiwa medali mbalimbali

  • Miaka 20 ya JWTZ
  • Medali ya utumishi mrefu.
  • Medali ya miaka 40 ya JWTZ.
  • Medali ya utumishi uliotukuka.
  • Medali ya Comoro na Anjouan.
  • Medali ya miaka 50 ya uhuru
  • Medali ya miaka 50 ya muungano pamoja na
  • Miaka 50 ya JWTZ.

Habari Mpya

  • Washiriki  Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    Washiriki Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    tokea masaa 23
  • Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    tokea siku 2
  • JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    tokea wiki 3
  • Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 5
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 5
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.