• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Elimu

ELIMU JESHINI

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania lilianzisha shule za sekondari katika maeneo mbalimbali nchini kwa kuona umuhimu wa kupandisha kiwango cha elimu kwa maafisa na askari wake. Utaratibu ulifanyika kwa kuazima walimu kutoka Wizara ya Elimu kuja jeshini kufundisha elimu ya Sekondari. Shule hizo ni pamoja na Makongo Sekondari, Air Wing Sekondari, Navy Sekondari (zilizopo Dar es Salaam), Kizuka Sekondari(Morogoro), Luhuwiko Sekondari (Ruvuma), Nyuki Sekondari (Zanzibar) na Unyanyembe Sekondari iliyopo mkoani Tabora.

Kwa kutambua umuhimu wa elimu, pia JKT ilianzisha shule za Sekondari ya Jitegemee iliyopo Kambi ya Mgulani pamoja na Sekondari ya Kawawa iliyopo katika kambi ya Mafinga mkoani Iringa.Lengo la kuanzishwa kwa shule hizo, lilikuwa ni kuwaendeleza maafisa , askari na watumishi wa umma na familia zao kielimu. Aidha baadhi ya vikosi vya JWTZ na JKT vilianzisha shule za msingi na awali (Chekechea) ndani ya makambi.

Habari Mpya

  • Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    tokea masaa 18
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea siku 4
  • Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    tokea mwezi 1
  • Simba International  yakabidhi Hanga

    Simba International yakabidhi Hanga

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.