• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba

Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba Posted On: Thursday, 12th February 2026

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo tarehe 12 Februari 2026 ameweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Jengo la utawala katika Kamandi ya Jeshi la Akiba iliyopo Mkoani Singida.

Akizungumza na Maafisa na Askari wa Kamandi hiyo, Jenerali Mkunda alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuliwezesha JWTZ kwa kutoa rasilimali fedha pamoja na vifaa ili kuhakikisha kuwa Jeshi linatekeleza majukumu yake ya kiulinzi na usalama nchini.

Aidha aliwataka wanakamandi ya Jeshi la Akiba kuhakikisha Ujenzi huo unaisha kwa wakati pamoja na kutunza miundombinu ya Jengo hilo pindi litakapoanza kutumika.

Pia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Mkunda aliwashukuru wanakamandi kwa jitihada kubwa walizofanya kuhakikisha Ujenzi huo unaanza kwa wakati hadi kufikia hatua iliyopo na kuwasihi kuendelea kuimarisha umoja na mshikamano na jamii inayowazunguka huku akisisitiza kutunza afya zao kwani wao ndiyo nguvukazi ya taifa.

Habari Mpya

  • Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba

    Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba

    tokea masaa 6
  • Askari Wapya JWTZ wahitimu mafunzo

    Askari Wapya JWTZ wahitimu mafunzo

    tokea wiki 1
  • Waziri Atembelea Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa

    Waziri Atembelea Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa

    tokea wiki 3
  • Meja Jenerali Gaguti Afunga rasmi zoezi la Medani Msata

    Meja Jenerali Gaguti Afunga rasmi zoezi la Medani Msata

    tokea wiki 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.