• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Kikao cha Polisi Jeshi chafunguliwa Morogoro

Kikao cha Polisi Jeshi chafunguliwa Morogoro Posted On: Friday, 5th June 2026

Mkuu wa Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi, Meja Jenerali Idd Said Nkambi, amefungua kikao kazi cha Polisi Jeshi kinachofanyika katika Kikosi cha Mazao Mkoani Morogoro leo tarehe 04Jun26.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Meja Jenerali Nkambi amewaasa Polisi Jeshi kujadili kwa weledi mambo ya Msingi hasa katika kufanya maamuzi ya utoaji haki kwa kuzingatia kipindi hiki cha mabadiriko ya sayansi na teknolojia.

Kikao kazi hiki kinachoongozwa na Mkurugenzi wa Polisi Jeshi Brigedia Jenerali Abubakar Charo ni mwendelezo wa vikao vinavyofanyika kila mwaka katika kamandi mbalimbali ambapo sasa ni zamu ya Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi huku kikiwa ni kikao cha Saba.

Washiriki wa Kikao ni Maafisa wanadhimu kutoka Kurugenzi ya Polisi Jeshi Makao Makuu ya Jeshi, Kurugenzi ya Polisi Jeshi Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa, Wakuu wa Polisi Jeshi wa Kamandi, na Brigedi na shule za Mafunzo ya Kijeshi.

Habari Mpya

  • Kikao cha Polisi Jeshi chafunguliwa Morogoro

    Kikao cha Polisi Jeshi chafunguliwa Morogoro

    tokea saa 1
  • Rais azindua jengo la MMUT

    Rais azindua jengo la MMUT

    tokea miezi 3
  • Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba

    Jenerali Mkunda Aweka Jiwe la Msingi Jeshi la Akiba

    tokea miezi 3
  • Askari Wapya JWTZ wahitimu mafunzo

    Askari Wapya JWTZ wahitimu mafunzo

    tokea miezi 4
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.