Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limekuwa likijihusisha na shughuli za uzalizashaji mali kupitia viwanda vyake kwa kutumia wataalamu wanajeshi na watumishi wa umma. Jeshi limekuwa likizalisha bidhaa mbalimbali zikiwemo zana za kilimo, mashine mbalimbali, malighafi zinazotumika katika ujenzi, kupitia viwanda na mashirika yake, kama Shirika la Uzalishaji mali la Jeshi la kujenga taifa (SUMA JKT), Shirika la Mzinga lililopo Mazao Mkoani Morogoro, Mradi wa Nyumbu uliopo Kibaha Pwani, Kiwanda cha kushona kilichopo Ruvu JKT.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.