8Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi
Kuanzishwa kwa Kamandi
Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi ni Kamandi mpya ambayo uanzishwaji wake ulianza rasmi baada ya kikao kilichofanyika chini ya Halmashauri ya Majeshi ya Ulinzi kwa kupitisha uamuzi wa kuanzishwa kwake mwaka 2013.
Kamandi ilianza kama GOC kwa kufuata mtiririko maalum hadi kufikia Kamandi kamili. Tangu Kamandi ianzishwe iliongozwa na Makamanda wafuatao:
Kamandi ilihamia rasmi katika baadhi ya majengo yaliyokuwa yanatumiwa na Shule ya Kijeshi ya Mawasiliano yaliyopo Kambi ya Jenerali A. Twalipo tarehe 16 Mar16
Majukumu ya Kamandi
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.