• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ Posted On: Monday, 15th December 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amefungua rasmi Mkutano wa 09 wa CDF na Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania unaofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga iliyopo Mkoani Tanga leo tarehe 15 Disemba 2025.

Akizungumza na Makamanda, Mheshimiwa Rais amelipongeza JWTZ kwa namna wanavyotekeleza majukumu yao kwa weledi mkubwa kwa kuhakikisha Taifa liko salama wakati wote. Amewahakikishia Makamanda kuwa Serikali itaendelea kuliwezesha JWTZ kwenye kila Nyanja ikiwemo zana, vifaa, Miundombinu na Mafunzo ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa utulivu.

Kwa upande wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amemshukuru Mheshimiwa Rais kwa namna Serikali imekuwa mstari wa mbele katika kuliwezesha JWTZ kutekeleza majukumu yake. Amemhakikishia kuwa Jeshi litaendelea kulinda mipaka ya nchi na watu wake dhidi ya matishio yoyote yatakayojitokeza .

Mkutano wa CDF na Makamanda wa JWTZ ni jukwaa lililoanzishwa na Mkuu wa Majeshi likiwa na lengo la kuwakutanisha Makamanda ili kupata wasaa wa kujadiliana maswala mbalimbali ya Ulinzi kwa maslahi ya Taifa.

Habari Mpya

  • Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    tokea masaa 4
  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea wiki 1
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 3
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.