• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Wasifu


Masters of Science in Defence Analysis

Luteni Jenerali Yakubu Mohamed ni Mnadhimu Mkuu wa JWTZ wa 13 tangu alipoteuliwa tarehe 14 February 2018 na Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano, Dk. John Pombe Magufuli.

Luteni Jenerali Yakubu Mohamed alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 01 Januari 1982 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni tarehe 02 Septemba 1987 kuwa Luteni Usu.

Luteni Jenerali Yakubu Mohamed alihudhuria kozi mbalimbali za kijeshi ndani na nje ya nchi, baadhi ya nchi hizo ni Misri, Afrika Kusini, Marekani na Uingereza.

Luteni Jenerali Yakubu Mohamed katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Afisa Mnadhimu - Makao Makuu ya Jeshi, Afisa Mnadhimu - Ulinzi wa Amani UNMIS(Sudan), Afisa Mnadhimu Baraza la Usalama la Taifa, Mratibu Msaidizi Mkuu Baraza la Usalama la Taifa, Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa – Tanzania.

Luteni Jenerali Yakubu Mohamed ametunukiwa medali mbalimbali

  • Miaka 20 ya JWTZ
  • Medali ya utumishi mrefu.
  • Medali ya miaka 40 ya JWTZ.
  • Medali ya utumishi uliotukuka.
  • Medali ya Comoro na Anjouan.
  • Medali ya miaka 50 ya uhuru
  • Medali ya miaka 50 ya muungano pamoja na
  • Miaka 50 ya JWTZ.

Habari Mpya

  • Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    Mkuu wa Majeshi amtembelea Rais wa Zanzibar

    tokea masaa 19
  • TANZIA

    TANZIA

    tokea siku 4
  • Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    Mkuu wa Majeshi aongea na Maafisa na Askari

    tokea mwezi 1
  • Simba International  yakabidhi Hanga

    Simba International yakabidhi Hanga

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.