• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Wasifu


Master in Security and Strategic Studies

Luteni Jenerali Mathew Mkingule ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 21 Februari, 1995 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni mwaka 1995 kuwa Luteni Usu.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule alihudhuria kozi mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo Kenya.

Katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Mathew Mkingule alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha, Mkurugenzi wa Fedha za Umma na Hesabu, Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha na baadae kuwa Mdhibiti Mkuu wa Fedha Makao Makuu ya Jeshi.

Luteni Jenerali Mathew Mkingule ametunukiwa medali mbalimbali

  • Miaka 40 ya JWTZ
  • Comoro
  • Miaka 50 ya Uhuru
  • Miaka 50 ya Muungano
  • Miaka 50 ya JWTZ
  • Utumishi Mrefu
  • Utumishi Uliotukuka

Habari Mpya

  • Washiriki  Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    Washiriki Zoezi Ushirikiano Imara 2022 Wakabidhiwa Bendera

    tokea siku 1
  • Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    Mnadhimu Mkuu Azindua Semina Ya Wataalamu Wa Saikolojia

    tokea siku 2
  • JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    JWTZ Latuma Salamu za Rambirambi kwa Wakenya

    tokea wiki 4
  • Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 5
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 5
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.