Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
Hafla hiyo imefanyika tarehe 02, Novemba 2020 katika uwanja wa Amani mjini Unguja na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu.
Akizungumza baada ya kuapishwa Dkt Hussein Mwinyi amewataka Wazanzibari kuachana na tofauti zao ili washirikiane kujenga Zanzibar mpya.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.