• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Dkt. Hussein Mwinyi Rais wa Awamu ya Nane, Zanzibar

Dkt. Hussein Mwinyi Rais wa Awamu ya Nane, Zanzibar Posted On: Monday, 2nd November 2020

Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

Hafla hiyo imefanyika tarehe 02, Novemba 2020 katika uwanja wa Amani mjini Unguja na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu.

Akizungumza baada ya kuapishwa Dkt Hussein Mwinyi amewataka Wazanzibari kuachana na tofauti zao ili washirikiane kujenga Zanzibar mpya.

Habari Mpya

  • WABUNGE NA WATUMISHI WA BUNGE 39 WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA

    WABUNGE NA WATUMISHI WA BUNGE 39 WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA

    tokea wiki 1
  • JWTZ YAMPOKEA BONDIA SULEMANI KIDUNDA

    JWTZ YAMPOKEA BONDIA SULEMANI KIDUNDA

    tokea wiki 1
  • Jenerali Mabeyo (mstaafu) aagwa rasmi kwa gwaride maalum

    Jenerali Mabeyo (mstaafu) aagwa rasmi kwa gwaride maalum

    tokea wiki 3
  • JENERALI MKUNDA AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR

    JENERALI MKUNDA AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR

    tokea wiki 4
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 5
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 5
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 5
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.