• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JKT kukutana na Ngome kwenye fainali

JKT kukutana na Ngome kwenye fainali Posted On: Sunday, 8th August 2021

Timu ya mpira wa kikapu ya JKT wanaume imefanikiwa kutinga nusu fainali katika mashindano ya BAMMATA yanayoendelea jijini Dodoma baada ya kuifunga timu ya Magereza wanaume kwa jumla ya vikapu 92 kwa 44.

Akizungumza mara baada ya mchezo kumalizika kocha wa timu ya JKT Christian Jackob Mwakingili amesema morali pamoja na nidhamu ya mchezo ndio imewawezesha kuibuka na ushindi huo mkubwa.Aliongeza kwa kusema "tangu awali tulitegemea kufika fainali na hatimaye kuchukua kombe hivyo tumejiandaa vya kutosha" .

Katika mchezo wa kikapu uliotangulia Ngome wanaume waliwaondoa Polisi wanaume na hivyo kutinga fainali na sasa watakutana na JKT ambao wameonesha kuwa na kiwango kizuri na kuzingatia maadili ya mchezo na hivyo kuifanya fainali hiyo kutegemewa kuwa na ushindani mkubwa kwani timu ya Ngome nayo imejiandaa vya kutosha.

Mashindano hayo ya BAMMATA kwa mwaka huu yanafanyika jijini Dodoma katika viwanja vya Shule ya St. John Merlin iliyopo maeneo ya St. Gema kwa kuzishirikisha timu mbalimbali za Vyomba vya Ulinzi nchini.

Habari Mpya

  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 2
  • Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    tokea miezi 3
  • Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    tokea miezi 3
  • Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    Jenerali Mkunda atembelea Vikosi vya Jeshi Kanda ya Arusha

    tokea miezi 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.