• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ kuadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii

JWTZ kuadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii Posted On: Tuesday, 24th July 2018

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) litaadhimisha Siku ya Mashujaa kwa kutoa huduma za kijamii maeneo mbalimbali nchini kesho tarehe 25 Julai, 2018.

Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa JWTZ Kanali Ramadhani Dogoli amesema; Jeshi litatoa huduma ya vipimo bure kwa magonjwa yasioambukiza , kufanya usafi maeneo mbalimbali nchini pamoja na kutoa msaada wa kibinadamu katika vituo vya kulelea watoto yatima.

Aidha, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyoatatembelea wagonjwakatika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo, kisha atakwenda kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja kujionea shughuli zinazoendelea na baadaye kuongea na Waandishi wa habari.

Habari Mpya

  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea siku 2
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 2
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.