• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

​JWTZ laendelea kujizatiti na Majanga

​JWTZ laendelea kujizatiti na Majanga Posted On: Wednesday, 31st October 2018

Jeshi la Ulinzi la Wananchi la Tanzania linaendelea kujidhatiti dhidi ya majanga yanayoikumba dunia kwa hivi sasa ikiwemo, ugaidi,uharamia,na maafa mengine.

Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Tawi la Oparesheni na Mafunzo Kivita Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam Meja Jenerali Alfred Fabian Kapinga amesema kuwa nchi za Afrika Mashariki zitakuwa na Zoezi la pamoja mkoani Tanga liitwalo Ushirikiano Imara.

Aidha amesema kuwa zoezi hilo linatarajia kuanza tarehe tano mwezi ujao na kufungwa rasmi tarehe 21 mwezi huo huo mwaka huu.

Habari Mpya

  • Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    Ngome yazidi kung'ara BAMMATA

    tokea siku 5
  • Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi  Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Shule ya Polisi Jeshi Mafinga

    tokea siku 5
  • Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    Mashindano ya BAMMATA yazinduliwa

    tokea wiki 1
  • Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    Mkuu wa Majeshi ya UAE afanya Ziara Tanzania

    tokea miezi 2
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.