• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi Jeshini

JWTZ  lawaaga Majenerali waliostaafu utumishi Jeshini Posted On: Friday, 2nd March 2018

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania leo tarehe 02 Machi 2018 limewaaga Majenerali waliostaafu utumishi jeshini.

Sherehe za kuwaaga Majenerali hao zimefanyika katika Kambi ya Twalipo Mgulani Jijini Dar es Salaam huku zikiambatana na gwaride rasmi lililoandaliwa kwa ajili yao.

Majenerali walioagwa leo ni aliyekuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali James Mwakibolwa (Mstaafu), aliyekuwa Mkuu wa JKT Meja Jenerali Michael Isamuhyo (Mstaafu), Brigedia Jenerali Aaron Lukyaa (Mstaafu), Brigedia Jenerali Martine Kemwaga (Mstaafu), Brigedia Jenerali William Kivuyo (Mstaafu), Brigedia Jenerali Emmanuel Kapesa (Mstaafu), Brigedia Jenerali Francise Njau (Mstaafu) na Brigedia Jenerali Elizaphani Marembo (Mstaafu).

Habari Mpya

  • Kwaheri Dkt John Pombe Magufuli

    Kwaheri Dkt John Pombe Magufuli

    tokea wiki 2
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI

    SALAMU ZA RAMBIRAMBI

    tokea wiki 2
  • Watanzania Watoa  Heshima za Mwisho Kanda ya Ziwa

    Watanzania Watoa Heshima za Mwisho Kanda ya Ziwa

    tokea wiki 2
  • Pumzika kwa Amani Mwana wa Afrika

    Pumzika kwa Amani Mwana wa Afrika

    tokea wiki 3
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 4
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 4
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 4
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.