• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

JWTZ yakanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni

JWTZ yakanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni Posted On: Friday, 13th July 2018

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)limekanusha taarifa zilizosambaa kwenyemitandao ya kijamiikuhusu mtoto aliyepatiwa matibabu ya kuvunjika mkono katika Hospitali Kuu ya Jeshi, Lugalo. JWTZ limemtaka mlalamikaji afikishe taarifa hizo kwenye uongozi wa Jeshi hilo ili ikithibitika wahusika wachukuliwe hatua stahiki.

Akizungumza na vyombo vya habari, Msemaji wa JWTZ Kanali Ramadhani Dogoli amesema kuwa aliyepata tatizo kama hilo atoe taarifa kwa uongozi wa Jeshi ili asaidiwe.

Kwa upande wa Mkuu wa Tawi la Tiba Jeshini Meja Jenerali Denis Janga amesema JWTZ linajukumu la kuwalinda na kuwahudumia wananchi wakati wa amani na wakati wa vita. Aidha, hospitali zote za Jeshi ikiwemo Lugalo hutoa huduma stahiki kwa wananchi wote.

Habari Mpya

  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea siku 2
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 2
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.