Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri atembelea Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam tarehe 12 Octoba 2016, wakati wa ziara ya kikazi nchini Tanzania. Luteni Jenerali Penance Shiri alikutana na Mwenyeji wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange .
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.