• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Jeshi la Lesotho akutana na mwenyeji wake Jenerali Davis Mwamunyange

Mkuu wa Jeshi la Lesotho akutana na mwenyeji wake Jenerali Davis Mwamunyange Posted On: Monday, 24th October 2016

Mkuu wa jeshi la Lesotho, luteni Jenerali Tlali Kamoli na ujumbe wake, ametembelea Makao Makuu ya Jeshi ikiwa ni jitihada ya kudumisha uhusiano kati ya nchi mbili hizi. Katika ziara hiyo, Luteni Jenerali Kamoli, alikutana na mwenyeji wake Jenerali Davis mwamunyange, na kuzungumzia ushirikiano kijeshi, Jenerali Kamoli alipokea zawadi ya nembo ya JWTZ kutoka kwa mwenyeji wake, na kushukuru uongozi wa jeshi kwa ukarimu waliouonyesha.

Mkuu huyo wa majeshi wa Lesotho alipata fursa ya kutembelea SUMA JKT kuangalia mradi wa matrekta, na kusifu jitihada za JKT katika kuchochea maendeleo ya kilimo nchini.

Habari Mpya

  • Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    Rais Samia afungua Mkutano wa CDF na Makamanda JWTZ

    tokea siku 6
  • Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    Dr Nyamsaho atembelea Makao Makuu ya Jeshi

    tokea wiki 2
  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea wiki 4
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.