• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara

Mkuu wa Majeshi Uganda Afanya Ziara Posted On: Monday, 14th March 2022

Mkuu wa Majeshi wa Uganda Jenerali Wilson Mbadi hivi karibuni aliwasili nchini kwa ziara ya kikazi na kupokelewa kwa gwaride maalumu katika Viwanja vya ofisi ndogo ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Upanga jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya kupokelewa alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Jenerali Venance Mabeyo pamoja na Mnadhimu Mkuu Luteni Jenerali Mathew Mkingule, Wakuu wa Kamandi na Wakuu wa Matawi Makao Makuu ya Jeshi. Lengo la mazungumzo ni kuimarisha Ushirikiano baina ya majeshi ya nchi hizi mbili.

Aidha, alipata fursa ya kuzungumza na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mhe. Dkt . Stergomena Lawrence Tax (mb) pamoja na kutembelea Chuo cha Ulinzi wa Taifa (NDC) kilichopo Kunduchi Dar es Salaam na maeneo mbalimbali Kisiwani Zanzibar.

Habari Mpya

  • NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI

    tokea wiki 2
  • Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    Rais Samia Suluhu Hassan atunuku Kamisheni

    tokea miezi 3
  • Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    Waziri Mhe. Bashungwa atembelea zoezi Dragon Fly

    tokea miezi 4
  • Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    Zoezi Dragon Fly lafunguliwa

    tokea miezi 5
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 6
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 6
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 6
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miezi 6
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.