• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi afanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa Posted On: Tuesday, 9th October 2018

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo leo Octoba 9 amefanya ziara kutembelea ujenzi wa Reli ya Kisasa (Standard Gauge Railway) unaoendelea nchini. Reli hiyo inaanzia Dar es salaam hadi Dodoma.

Jenerali Mabeyo alitembelea ujenzi huo na kujionea hali halisi inavyoendelea ambapo alianza kwa kufika Makao Makuu ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Mkurungenzi Mkuu wa Shirika hilo Bw. Masanja Kadogosa, na kisha kupata maelezo mafupi kutoka kwa msimamizi mkuu wa mradi huo.

Ziara hiyo ilianza kwa kutembelea eneo la Kamata ambalo ujenzi wa daraja la treni litakalopita juu unaendelea ili kuepusha muingiliano kati ya barabara na reli.

Jenerali Mabeyo alihitimisha ziara yake katika maeneo ya Mkoa wa Pwani, pia alisifia mradi huo kuwa ni miongoni mwa miradi ya kisasa zaidi Barani Afrika na katika Ukanda wetu wa nchi za Afrika Mashariki. Aidha, alisema kwa upande wa Jeshi, reli hiyo itasaidia kusafirisha vifaa na mizingo mbalimbali ya kijeshi na kuihakikishia Serikali kuwa Jeshi itailinda reli hiyo kwa maslahi ya Taifa.

Habari Mpya

  • Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    Luteni Jenerali Othman ashiriki Kongamano kuhusu Usalama wa Kitaifa

    tokea wiki 2
  • Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    Jenerali Mkunda afungua Kikao cha Wakuu wa Majeshi SADC

    tokea wiki 3
  • Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha  Ushirikiano

    Afrika Mashariki Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano

    tokea mwezi 1
  • ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    ​Jenerali Mkunda aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Kokoto Arusha

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 8
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 8
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 8
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 2
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.