Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo leo Disemba 11, 2020 amefanya ziara na kukutana na mwenyeji wake Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Mhandisi Elias John Kwandikwa (mb) ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara yaliyopo mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Pamoja na kujitambulisha, Jenerali Venance Mabeyo amempongeza Mhe, Elias Kwandikwa kwa kuteuliwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Ulinzi na JKT.
Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 9203 Dar es Salaam,
Street :Magore, Upanga
Fax : +255 22 2153432
Tel : +255 22 2150592- 4
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.