• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Kiswahili
  • English

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania

  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira,Dhima na Majukumu
  • Kujiunga na JWTZ
  • Kamandi
    • Kamandi ya Jeshi la Wanamaji
    • Kamandi ya Jeshi la Nchi Kavu
    • Kamandi ya Jeshi la Anga
    • Jeshi la Kujenga Taifa
    • Kamandi ya Makao Makuu ya Jeshi
    • Kamandi ya Jeshi la Akiba
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Michezo
    • Viwanda
  • Oparesheni
    • Endelevu
    • Iliyokamilika
  • Kumbukumbu
    • Video
    • Picha
    • Hotuba

Rais Samia atunuku Kamisheni

Rais Samia atunuku Kamisheni Posted On: Sunday, 23rd November 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni Maafisa 296 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Katika sherehe iliyofanyika katika Chuo cha Kijeshi Monduli mkoani Arusha tarehe 22 Novemba 2025.

Mkuu wa Chuo hicho Meja Jenerali Jackson Jairos Mwaseba amesema Maafisa hao wapya waliotunukiwa kamisheni wamehudhuria Mafunzo hapa nchini na kwenye Vyuo vya Kijeshi katika mataifa rafiki. Meja Jenerali Mwaseba alisema kuwa katika kundi hilo, Maafisa 39 ni wanawake na 257 ni wanaume.

Aidha, kati ya Maafisa 296 waliotunukiwa kamisheni, Maafisa 23 wanatoka mataifa ya Burundi, Comoro, Kenya, Malawi, Msumbiji, Rwanda, Uganda na Zambia. Maafisa 89 ni watanzania ambao walifanya mafunzo katika nchi rafiki.

Mbali na kutunuku kamisheni Mhe. Rais aliwatunuku Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Kijeshi Maafisa 106.

Habari Mpya

  • Rais Samia atunuku Kamisheni

    Rais Samia atunuku Kamisheni

    tokea masaa 4
  • Rais Samia ala Kiapo

    Rais Samia ala Kiapo

    tokea wiki 2
  • JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    JWTZ Laadhimisha UN DAY Lebanon

    tokea wiki 4
  • Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    Jeshi kujenga Hoteli ya nyota tano

    tokea mwezi 1
  • Zaidi

Nifanyeje

  • Utaratibu wa kujiunga na JWTZ tokea miaka 9
  • Majukumu ya Msingi ya JWTZ tokea miaka 9
  • Wakuu wa Majeshi waliopita JWTZ tokea miaka 9
  • Wanadhimu Wakuu waliopita JWTZ tokea miaka 3
  • Zaidi

Wasiliana Nasi

Tanzania People's Defence Forces,
P.O.Box 194 Dodoma,
Street : Miyuji, Msalato
Fax : +255 26 2962123
Tel : +255 737 962 064
E-mail : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz

Kurasa za Karibu

  • Marais walioongoza Tanzania
  • Tangazo kwa vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria 2016
  • Taarifa kuhusu vijana kujiunga na JKT

Tovuti Mashuhuri

  • Shirika la Uzalishaji Mali - SUMAJKT
  • Tovuti ya Ikulu
  • Jeshi la Kujenga Taifa
  • Wizara ya Ulinzi na Kujenga Taifa
  • Chuo cha Ulinzi wa Taifa - Tanzania

Jarida la Ulinzi

Zaidi

Haki zote zimehifadhiwa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania.